Magazeti leo Februari 4,2026

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Samuel Malecela, amekemea vikali tabia ya kuwatukana Viongozi wa Dini, akieleza kuwa ni kitendo cha kukosa adabu, maadili na ustaarabu ambacho hakipaswi kuvumiliwa katika jamii.
Malecela amesema hakuna sababu wala kisingizio chochote kinachoweza kuhalalisha matusi dhidi ya Viongozi wa Dini, akisisitiza kuwa tofauti za maoni hazimpi mtu haki ya kufokea, kudhalilisha au kuwavunjia heshima watu wanaoheshimika katika jamii.

Akizungumza kwa msisitizo, Malecela amewataka watu wanaojiita Makada kuacha kuvaa mashati ya kijani na kuwadhalilisha wenzao wakidhani hawatasemwa, akibainisha wazi kuwa hatounga mkono tabia hiyo hata kidogo.









Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here