DODOMA-Wakala wa Vipimo (WMA) unawatakia waumini wote wa Kikristo na wananchi kwa ujumla heri ya maadhimisho ya Jumapili ya Matawi.

Siku hii muhimu inaashiria mwanzo wa Wiki Kuu katika kalenda ya Kikristo, ikikumbusha unyenyekevu, amani na mshikamano katika jamii. Wakala unaendelea kuhimiza maadili mema na uwajibikaji kwa manufaa ya taifa.