Wakala wa Usajili wa Biashara la Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wa bidhaa mbalimbali za viwanda kurasimisha biashara zao ili kuendelea kunufaika na fursa mbalimbali za kibiashara zinazopatikana nchini na nje ya nchi.
Wito huo umetolewa tarehe 27 Februari ,2026 na Msaidizi wa Usajili Mkuu kutoka BRELA Bi. Hellen Mhina wakati akizungumzia ushiriki wa Wakala kwenye Maonyesho ya sita (6) ya Bidhaa za Viwanda na Biashara za Wanawake Tanzania yanayofanyika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo















