Magazeti leo Machi 1,2026

Wakala wa Usajili wa Biashara la Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wa bidhaa mbalimbali za viwanda kurasimisha biashara zao ili kuendelea kunufaika na fursa mbalimbali za kibiashara zinazopatikana nchini na nje ya nchi.
Wito huo umetolewa tarehe 27 Februari ,2026 na Msaidizi wa Usajili Mkuu kutoka BRELA Bi. Hellen Mhina wakati akizungumzia ushiriki wa Wakala kwenye Maonyesho ya sita (6) ya Bidhaa za Viwanda na Biashara za Wanawake Tanzania yanayofanyika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here