Magazeti leo Machi 13,2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Katibu Mkuu Kiongozi pamoja na Waziri Mkuu kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Kutathmini masuala ya Ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro na Uhamaji wa hiari kutoka Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo Machi 12, 2026 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma baada ya kukabidhiwa taarifa kutoka Tume hiyo iliyofanya tathmini ya masuala ya ardhi katika Wilaya ya Ngorongoro na Uhamaji wa hiari kwa wananchi kutoka Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here