Magazeti leo Machi 24,2026

Katibu Mkuu (Mipango) na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida, amefungua mkutano wa kitaifa unaozikutanisha taasisi za utafiti kujadili namna ya kuoanisha utafiti na mchakato wa upangaji wa maendeleo ya taifa. Mkutano huo umefanyika Machi 23, 2026 jijini Dodoma.‎
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano huo, Dkt. Kida amesema Tanzania ipo katika hatua muhimu ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050, inayolenga kujenga uchumi wa trilioni moja pamoja na kuboresha ustawi wa wananchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here