Waziri wa Fedha,Mheshimiwa Balozi Omar ateta na viongozi wa Perseus Mining

DAR-Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mkuu Mtendaji wa Perseus Mining Limited, Bw. Craig Jones, aliyeambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Fedha wa kampuni hiyo Bi. ⁠Lee-Anne de Bruin, pamoja na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Sotta Mining Corporation Limited, Bw. ⁠Isaac Lupokela, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya ushirikiano katika kukuza sekta ya madini pamoja na uwekezaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here