Waziri wa Fedha,Mheshimiwa Balozi Omar ateta na viongozi wa Habib African Bank

DAR-Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Habib African, Bw. Faraz Haider, aliyeambatana na Mwenyekiti wake wa Bodi anayemaliza muda wake, Bw. Zain Habib, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaaam, ambapo wamezungumza fursa mbalimbali zilizopo nchini hasa katika uwekezaji katika ujenzi wa nyumba za makazi za bei nafuu katika miji inayokua kwa kasi nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here