Mwanasheria Mkuu wa Serikali akifuatilia Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali bungeni jijini Dodoma leo

DODOMA-Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Hamza S. Johari akifuatilia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali imewasilishwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) Bungeni jijini Dodoma, tarehe 11 Juni, 2026.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here