Magazeti leo Agosti 19,2026

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya nishati na kuwasaidia wananchi kupata vifaa bora na vyenye ufanisi mkubwa.
Aliyasema hayo Agosti 18, 2026 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt. Candida Shirima, wakati akifungua mafunzo kuhusu viwango vya ufanisi wa nishati na uwekaji wa alama za ufanisi kwa vifaa vya kupikia vya majumbani vinavyotumia umeme, yaliyofanyika katika Ofisi za TBS Makao Makuu, Ubungo, Dar es Salaam.

Alisema viwango hivyo vimeweka kiwango cha chini cha ufanisi ambacho vifaa vya umeme vinapaswa kufikia ili kupunguza matumizi makubwa yasiyo na tija ya umeme.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here