Magazeti leo Septemba 10,2026

Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umetakiwa kuongeza ushirikiano na Sekta Binafsi pamoja na wadau wengine ili kupata fedha zinazohitajika kukamilisha miradi ya maji katika vijiji 1,575 ambavyo bado havijafikiwa na huduma hiyo nchini.
Ushauri huo umetolewa Septemba 9, 2026 Jijini Dodoma na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na mlezi wa RUWASA, Bi. Rose Ambrose, wakati akifungua kikao kazi cha siku tatu cha Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti pamoja na Mameneja wa RUWASA wa Mikoa na Wilaya.

Amesema kuwa RUWASA inakabiliwa na mahitaji ya Sh trilioni 5.1 kwa ajili ya kukamilisha utekelezaji wa miradi ya maji katika vijiji vilivyosalia, wakati fedha zilizopo ni Sh trilioni 2.06, hivyo kuna pengo la takribani Sh trilioni 3.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here