Magazeti leo Septemba 7,2026

Watanzania 274 tayari wamenufaika na programu za masomo ya muda mrefu nchini Japan, huku wanataaluma 16 wakielekea nchini humo kwa masomo ya uzamili na mafunzo ya vitendo katika kampuni za Kijapani.
Tanzania na Japan zimeendelea kuimarisha ushirikiano katika elimu, kupitia fursa zinazolenga kuongeza ujuzi na weledi wa watumishi na wataalamu wa Tanzania.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mwakilishi wa JICA nchini Tanzania, Dk. Kuge Katsuya, wakati wa hafla ya kuwaaga wanataaluma hao 16.

Amesema programu hiyo ya ABE Initiative inawapa Watanzania nafasi ya kusoma fani mbalimbali, ikiwemo sera za umma, madini na uhandisi.
















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here