ZANZIBAR-Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Samwel M. Maneno akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 10 Septemba,2026 kufuatia kufiwa na mume wake marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar tarehe 7 Septemba,2026.
Tags
Dr Samia Suluhu Hassan
Habari
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Picha
Picha Chaguo la Mhariri
Samuel Maneno
