Liverpool yaparuliwa kwa mijeledi 7 kutoka Aston Villa

Mashabiki wa Liverpool wamesononeka baada ya timu yao kuruhusu magoli nusu dazeni na nyongeza moja juu.
Kipigo hicho cha mwaka au pengine zaidi ya miaka kimetoka Aston Villa ambapo matokeo yamekuwa 7-2.

Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England ambapo anakuwa  bingwa mtetezi wa kwanza kufungwa goli saba.

Matokeo yapo hivi Watkins 4’ 22’ 39’ McGinn 35’ Barkley 55’ Grealish 66’ 75’ na Salah 33’ 60’ ndani ya Villa Park.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news