Mwenyekiti wa DRFA azipiga tafu timu zitakazoshiriki Mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa mikoa

Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Mkoa wa Dar Es Salaam (DRFA), Lameck Nyambaya ametoa msaada kwa timu tatu za mkoa huo zinazoenda kushiriki Mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yanayotarajiwa kuanza Machi 4, mwaka huu, anaripoti Mwandishi Diramakini.
Nyambaya amekabidhi jezi seti moja kwa kila timu, mipira mitatu kwa kila kitu pamoja na fedha taslimu shilingi laki tatu.

Timu hizo ni Mabomba FC itakayokua kituo cha Lindi, Huduma SC itakayokua kituo cha Arusha pamoja na Temeke Squad ambayo itakua kituo cha Pwani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news