Spika Ndugai ateta na wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Nigeria


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wajumbe wa tume ya Utumishi ya Bunge la Nigeria waliomtembela leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma, Novemba 4, 2021, Kulia ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson na kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Nigeria, Injinia Ahmed Amshi. Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akikambidhi zawadi yenye mfano wa Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Nigeria, Injinia Ahmed Amshi tukio lililofanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma, Novemba 4, 2021.(PICHA NA OFISI YA BUNGE).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news