Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), upepo wa Pwani unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya kilomita 30 kwa saa, hii ikijumuisha Pwani yote kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini, vivyo hivyo hali ya bahari inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi.Pia mvua na ngurumo zinatarajiwa katika maeneo machache ya Ukanda wa Ziwa Victoria.
Tags
Uchumi