
Mkurugenzi Msaidizi wa Utoaji Huduma, Wizara ya Maji Mhandisi Lydia Joseph akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha Wizara hiyo kuhusu mapitio ya Mwongozo wa Uendeshaji wa Mamlaka na Usafi wa Mazingira kilichofanyika mjini Morogoro Oktoba 13, 2020 mjini Morogoro.

Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi cha Wizara ya Maji cha mapitio ya Mwongozo wa Uendeshaji wa Mamlaka na Usafi wa Mazingira kilichofanyika mjini Morogoro.

Mwanasheria wa Wizara ya Maji, Simon Nkanyemka (aliyesimama) akichangia mada wakati wa kikao kazi cha wizara hiyo kuhusu mapitio ya Mwongozo wa Uendeshaji wa Mamlaka na Usafi wa Mazingira kilichofanyika mjini Morogoro.
Mwanasheria wa Wizara ya Maji, Simon Nkanyemka akichangia mada wakati wa kikao kazi cha Wizara hiyo kuhusu mapitio ya Mwongozo wa Uendeshaji wa Mamlaka na Usafi wa Mazingira kilichofanyika mjini Morogoro.(Picha na Happiness Shayo-Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini).