Magazeti leo Mei 7,2026

Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE) na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kimkakati inayolenga kurahisisha ushiriki wa wafanyabiashara kwenye miradi mikubwa ya kimaendeleo.
Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-CENTRE, David Kafulila, alisema ushirikiano huo unalenga kutafsiri maono ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan ya kuipa sekta binafsi nafasi kubwa zaidi katika kukuza uchumi.

Kafulila afafanua kuwa jukumu kuu la kituo hicho ni kuhakikisha muundo wa miradi inayofanywa kwa ubia inawanufaisha watu wote; Mwekezaji, kampuni binafsi, Serikali na jamii nzima.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here