Diamond Platinum atwaa tuzo nyingine Kimataifa

Nyota wa Kimataifa katika Bongo Fleva na Mtanzania, Nasibu Abdul Juma Issack (Diamond Platinum) ambaye anatajwa kuwa ana mafanikio makubwa zaidi katika tasnia ya muziki na mfanyabiashara aliyewekeza katika miradi mbalimbali nchini ikiwemo vyombo vya habari ameendelea kujizotea tuzo mbalimbali, anaripoti Mwandishi Diramakini.
Diamond Platinunm aliyezaliwa Oktoba 20, 1989 ametajwa tena kuwa Mwanamuziki Bora wa kiume Afrika Mashariki ambapo amepatiwa tuzo ya @afrimawards@afrimma.

Hiyo ni kati ya tuzo nyingi za Kitaifa na Kimataifa ambazo ametunukiwa ikiwemo Channel O, MTV Awards, Soundcity, Kilimnjaro Music Awards, Headies, Afrima, Afrimma, Kora, AEA, the HiPipo Music Awards.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news