Magazeti leo Aprili 27,2026

Katibu Mkuu mpya wa jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Stephen Patrick Mbundi amesema kuwa katika nafasi yake hiyo ataanza na vipaumbele muhimu ikiwemo kuimarisha soko la pamoja, kukuza biashara ya pamoja ndani nje ya nchi. 
Ameyasema hayo jijini Arusha katika hafla ya makabidhiano ya madaraka baina yake na Katibu mkuu aliyemaliza muda wake,Veronica Nduva hafla iliyofanyika katika makao makuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki.

Balozi Mbundi amesema kuwa, atahakikisha kuna kuwepo usimamizi thabiti wa rasilimali, uwajibikaji na uwazi katika utekelezaji wa majukumu ya jumuiya kwa ujumla.

“ninachoomba kwa wanajumuiya wenzangu ni ushirikiano wa karibu ili niweze kufanikisha malengo yote niliyotapanga na kukabiliana na changamoto mbalimbali,”amesema Mbundi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here