Matukio yaliyojiri bungeni leo Februari 4, 2021 katika picha


Mbunge wa Mtwara Mjini, Mhe. Hassan Mtenga (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa Mwanga, Joseph Thadeyo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na baadhi ya wabunge kutoka Mkoa wa Mara kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 4, 2021. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara, Mbunge wa Butiama, Jumanne Sagini, Mbunge wa Musoma Mjini, Vedasto Mathayo na Mbunge wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news