Mandhari ya Barabara ya Shekilango kilomita 3.7 iliyojengwa kwa njia 4

Mandhari ya Barabara ya Shekilango kilomita 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, upana mita 22, njia za watembea kwa miguu, taa za kisasa, mitaro ya maji na bustani ili kupunguza msongamano wa magari kuanzia maungio ya barabara ya Morogoro na kupita mitaa yote ya Sinza mpaka maungio ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi mkoani Dar es Salaam ikiwa inapendeza mara baada ya ujenzi wake kukamilika. (Picha zote na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news