Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 18, 2021

Mahojiano maalum: Waziri wa Hayati Dkt.John Pombe Joseph Magufuli afichua siri alivyokwepa ufisadi, linaripoti Gazeti la Nipashe.

Aishi Manula apandiwa dau, awekewa nusu bilioni mezani, Simba SC yakubali kupokea ofa, linaripoti Gazeti la Spoti Xtra.
Umoja wa Mataifa unasema kuwa, utaenzi juhudi za Hayati Dkt.John Pombe Joseph Magufuli, linaripoti Gazeti la Jamvi la Habari.
Vigogo wafunguka Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), linaripoti Gazeti la Mzalendo.
Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Edward Hoseah atangaza kuanza na sheria kandamizi, linaripoti Gazeti la Mwananchi.

Jeuri ya Kajala na mtoto wake Paula huko Dubai yavuja, yadaiwa Wasafi hawahusiki na chochote, linaripoti Gazeti la Risasi.
 
Mufti ahamasisha waumini kusoma Qur'an, Waislamu waitega Serikali kodi ya tende, linaripoti Gazeti la Imaan.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news