Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa ofisi yake

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Bibi Mary Ngelela Maganga Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, wakati Katibu Mkuu Maganga alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo April 27,2021. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana kwa Ishara maalum na Bibi Mary Ngelela Maganga Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, wakati Katibu Mkuu Maganga alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo April 27,2021.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news