🔴LIVE:Soko la Kariakoo DAR ES SALAAM linateketea kwa moto

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Ilala mkoani Dar es Salaam linaungua moto usiku huu huku jitihada za kuuzima zikiendelea kutoka kwa wadau mbalimbali.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa Serikali wanaosaidia katika uokoaji huu.

Mheshimiwa Makalla amesema moto huo umeanza kuwaka saa 3:30 ya leo Julai 10,2021 na chanzo bado hakijajulikana hadi sasa.

 

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news