Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu, ameishauri Serikali kulegeza masharti ya utoaji mikopo kwa vijana ili kurahisisha upatikanaji wake na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Shaibu amesema masharti yaliyopo pamoja na mgawanyo wa fedha katika wizara na taasisi mbalimbali unakwamisha vijana wengi kutonufaika na mikopo hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Shaibu amesema masharti yaliyopo pamoja na mgawanyo wa fedha katika wizara na taasisi mbalimbali unakwamisha vijana wengi kutonufaika na mikopo hiyo.Amesisitiza kuwa kuunganisha mifuko ya mikopo kutasaidia kuweka utaratibu mmoja ulio wazi na rafiki, hatua itakayoongeza ufanisi na kuwafikia vijana wengi zaidi.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo










