Bernard Morrison aishinda Yanga SC baada ya CAS kutupa rufaa, ni halali kwa Simba SC


Mchezaji Bernard Morrison ameishinda Klabu ya Yanga SC baada ya CAS kutupilia mbali rufaa ya Yanga kuhusu hukumu iliyotolewa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF kuwa mkataba wa Morrison na Yanga ulikuwa na mapungufu hivyo ni mchezaji halali wa Simba SC.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news