Huu ndiyo utaratibu wa utoaji wa vibali na uingizwaji wa vyanzo vya mionzi

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

UNGANA na Mkurugenzi wa Kitengo cha Udhibiti wa Mionzi wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania ( (TAEC),Dkt. Justine Ngaile aweze kukupa maarifa zaidi juu ya utaratibu huo.
FAHAMU

Mbali na hayo, mara kwa mara Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) imekuwa ikiendesha mafunzo juu ya usimamizi wa usalama wa mionzi kwa wafanyakazi wanaotumia vifaa vitumiavyo mionzi migodini, viwandani na kwa watengenezaji wa vifaa vya mionzi vya hospitalini.

Lengo kuu la mafunzo ni kutoa elimu kuhusiana na mionzi, matumizi salama ya mionzi, madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mionzi, Sheria inayosimamia udhibiti wa matumizi salama ya mionzi, namna bora ya kujikinga dhidi ya madhara ya mionzi kwa kuzingatia kanuni za ulinzi wa mionzi (Radiation Protection Principals) katika kuhakikisha usalama wa watumiaji na watengenezaji wa mashine za Midaki (X-Ray Baggage Scanner).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news