🔴 LIVE: Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Kwanza mwaka 2022

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Ummy Mwalimu akitangaza matokeo hayo leo Novemba 24,2021 jijini Dodoma.

"Hakika Rais Samia anaandika historia nyingine kubwa nchini ya kuwezesha wanafunzi waliofaulu Mtihani wa darasa la 7 mwaka 2021 wote kuchaguliwa kuanza muhula wa masomo siku moja, Januari 2022. Na hivyo kuzika rasmi utaratibu wa kuchangua wanafunzi kwa awamu mbili.

"Ninawahimiza, wazazi/walezi na jamii kushirikiana na uongozi wa Wilaya, Halmashauri na Shule, kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa wanaandikishwa, wanahudhuria na kubakia shuleni hadi watakapohitimu Elimu ya Sekondari,"amesema Waziri Ummy.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news