Makamu wa Rais Dkt.Mpango ateta na Rais mstaafu Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, Novemba 5, 2021 amemtembelea na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete Ofisi kwake Masaki jijini Dar es Salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na mke wa Makamu wa Rais, Mama Mbonimpaye Mpango (wa katikati) mara baada ya kumaliza mazungumzo yao ofisini kwa Dkt. Kikwete Masaki jijini Dar es Salaam.(Picha na OMW).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news