Mrithi wa Ndugai nafasi ya Spika kujulikana hivi karibuni

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

KATIBU wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema amepokea nakala ya barua kutoka kwa Job Ndugai ya kujiuzulu nafasi ya Spika wa Bunge aliyompelekea Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kilimdhamini alipogombea nafasi hiyo.
Katibu huyo wa Bunge amesema, taarifa kuhusu taratibu za uchaguzi kwa ajili ya kujaza nafasi ya Spika zitatolewa baadaye.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news