RAIS DKT.MWINYI AONGOZA SHERERE ZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 58 YA MAPINDUZI


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akisalimia wananchi alipoingia katika Uwanja wa Amaan jijini Zanzibar kuongoza Sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akipokea salamu ya Heshima ya Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika Uwanja wa Amaan jijini Zanzibar wakati wa Sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar leo.
Mke wa Rais wa Zanzibar,Mama Mariam Mwinyi (katikati) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman (kulia) Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Akson wakisimama wakati wa kupokea Salamu ya Heshma ya Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika Uwanja wa Amaan jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika Uwanja wa Amaan jijini Zanzibar wakati wa Sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, leo. (Picha na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news