Mhandisi Sanga asaini mikataba ya zaidi ya Bilioni 34/-

NA MWANDISHI MAALUM

KATIBU Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga akisaini moja ya mikataba sita yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 34.7 inayohusu Sekta ya Maji iliyohusisha kampuni tano ambazo ni M/S PRD Rigs Tanzania Ltd, M/S Equiplus Company Ltd, M/S GF Trucus and Equipments Ltd, Bing Bang Machines and Parts Ltd, na Mantrack Tanzania Ltd.

Mikataba hiyo itahusu; ununuzi wa mitambo ya uchimbaji wa mabwawa na visima, ununuzi wa vifaa vya uchunguzi wa maji chini ya ardhi, mashine za kuchimba miamba pamoja na pampu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news