Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Februari 7, 2022

NA GODFREY NNKO

LEO Franka ya Burundi inanunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.206 huku dola ya Marekani nchini ikinunuliwa kwa Shilingi 2286.67 huku ikiuzwa kwa Shilingi 2309.56.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Februari 7, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Wakati huo huo, Euro ya Ulaya inanunuliwa kwa shilingi 2613.515 na kuuzwa kwa shilingi 2640.29.

Aidha,kwa mujibu wa BoT, Paundi ya Uingereza inanunuliwa kwa Shilingi 3090.24 huku ikiuzwa kwa Shilingi 3121.37.

Yuan ya China inanunuliwa kwa shilingi 359.515 huku ikiuzwa kwa shilingi 363.063 na Yen ya Japan inanunuliwa kwa shilingi 19.84 na kuuzwa kwa shilingi 20.03.

Kwa upande wa Franka ya Rwanda inanunuliwa kwa shilingi 2.18 na kuuzwa kwa shilingi 2.246 huku shilingi ya Uganda ikinunuliwa kwa shilingi 0.63 na kuuzwa kwa shilingi 0.66.
Aidha, Randi ya Afrika Kusini inanunuliwa kwa shilingi 147.96 na kuuzwa kwa shilingi 149.407 huku shilingi ya Kenya ikinunuliwa kwa shilingi 20.15 na kuuzwa kwa shilingi 20.313.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news