Rais Samia ateta na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwasili Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani Washington DC nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa na baadhi ya Viongozi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) pamoja na Ujumbe aliofuatana nao, kwenye picha ya pamoja Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) Washington DC nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akipokea kitabu cha Taarifa ya miaka 20 ya Usimamizi wa Uchumi katika Afrika Mashariki, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Bibi Christalina Georgieva, Makao Makuu ya Shirika hilo Washington DC nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Bibi Christalina Georgieva, alipowasili Makao Makuu ya Shirika hilo Washington DC nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, na mwenyeji wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Bibi Christalina Georgieva, wakiwa kwenye picha ya pamoja Makao Makuu ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) Washington DC nchini Marekani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news