Rais Samia ateta na Mtangazaji Maarufu wa Kituo cha Television cha CBS





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais Samia akizungumza jambo na Mtangazaji Maarufu wa Kituo cha Television cha CBS nchini Marekani, Bi. Gayle King wakati alipokutana na Wafanyabiashara, Wawekezaji pamoja na Wadau Wakuu wa Sekta ya Habari wa nchini Marekani jijini New York. (Picha na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news