Rais Samia ateta na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia Masuala ya Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mhe. Vicky Ford ambaye ni Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika nchini Uingereza alipofika Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Aprili 3, 2022. (Picha na Ikulu).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi ya picha yenye muonekano wa Mlima Kilimanjaro, Mhe. Vicky Ford ambaye ni Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika nchini Uingereza, alipofika Ikulu Chamwino leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Vicky Ford ambaye ni Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika nchini Uingereza, aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mhe. Vicky Ford Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika nchini Uingereza alipofika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news