Ujumbe maalum kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma



"Tusimamie vizuri rasilimali watu iliyopo ili tubadilishe mwenendo, tubadilishe fikra na mtizamo wa hii rasilimali watu tuliyo nayo, ianze kuona ina jukumu kubwa la kuwajibika kwa Watanzania, kuwajibika kwa Taifa, kuvaa uzalendo, kuleta tija katika utendaji kazi kila siku,"Mheshimiwa Waziri, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Jenista Joackim Mhagama (Mb).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news