Asilimia 70 ya gharama zinazotumika kuchimba dhahabu huenda kwa watoa huduma-Mhandisi Bujashi

NA DIRAMAKINI

"Ukweli ni kwamba zaidi ya asilimia 70 ya gharama zinazotumika kuchimba dhahabu huenda kwa watoa huduma, kwa kipindi cha hivi karibuni wameanza kupata uelewa mkubwa baada ya kuanzishwa kwa Sheria ya Local Content ambapo Watanzania wamepata fursa ya kutoa huduma ndani ya migodi mfano huduma ya chakula, vifaa vya kushikilia miamba ardhini, uzalishaji wa vifaa vya uchimbaji;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news