Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania-Zanzibar, Mhe. Balozi Mohamed Haji Hamza akimvisha beji ya Sensa 2022 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt.Wilson Charles Mahera


Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania-Zanzibar, Mhe. Balozi Mohamed Haji Hamza akimvisha beji ya Sensa 2022 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Charles Mahera wakati kamisaa huyo alipotembelea Ofisi za Tume jijini Dodoma leo Juni 13,2022 ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi inayotarajia kufanyika tarehe 23 Agosti, 2022.(Picha na NBS).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news