Rais Samia ameiheshimisha Sekta ya Maji nchini wasema wadau


"Ndani ya Serikali ya Awamu ya Sita, Sekta ya Maji imepewa kipaumbele kikubwa na mpaka sasa wananchi wameweza kujionea na kutatuliwa changamoto mbambali zilizokuwa zinawakabili kutokana na uhaba wa maji,"amesema Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Maryprisca Mahundi (Mb) katika mjadala wa Kitaifa ambao umeangazia Uwekezaji na Maendeleo ya Sekta ya Maji chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.





















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news