Hii hapa ratiba ya huduma za pamoja za utatuzi wa migogoro na malalamiko Dar es Salaam


"Kwa vile zoezi hili litagusa maeneo mengi ya nchi yetu, napenda pia kuwaarifu kwamba, pamoja na hatua ambazo Wizara inachukua kutatua malalamiko na kero za wananchi wa Dar es Salaam, tunaelewa kwamba jukumu letu la msingi ni kujenga utaratibu na mifumo ya kuzuia migogoro isijitokeze, na sio kusubiri migogoro ijitokeze ndio tuanze kuifanyia kazi,"Dkt.Kijazi Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news