Rais Samia ateta na Mkurugenzi Mtendaji wa Uendeshaji WB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Uendeshaji wa Benki ya Dunia, Axel van Trotsenburg, Dakar nchini Senegal kabla ya kuanza mazungumzo Julai 7, 2022. (Picha zote na Ikulu). Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Uendeshaji wa Benki ya Dunia, Axel van Trotsenburg, Dakar nchini Senegal.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Uendeshaji wa Benki ya Dunia, Axel van Trotsenburg mara baada ya mazungumzo yao Dakar nchini Senegal.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news