Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Julai 8,2022

NA GODFREY NNKO 

LEO Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.33 na kuuzwa kwa shilingi 630.44 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.14 na kuuzwa kwa shilingi 148.44.
Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2724.52 na kuuzwa kwa shilingi 2752.69 huku Euro ya Ulaya (EUR) ikinunuliwa kwa shilingi 2331.96 na kuuzwa kwa shilingi 2355.74.

Aidha,Franka ya Ufaransa (FRF) inanunuliwa kwa shilingi 308.66 na kuuzwa kwa shilingi 311.39, hii ikiwa ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Julai 8, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.21 na kuuzwa kwa shilingi 2.29 huku Kwacha ya Zambia (ZMW) ikinunuliwa kwa shilingi 139.48 na kuuzwa kwa shilingi 141.86.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 217.17 na kuuzwa kwa shilingi 219.28 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 136.77 na kuuzwa kwa shilingi 138.08.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.61 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 29.00 na kuuzwa kwa shilingi 29.27 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.44 na kuuzwa kwa shilingi 19.60.
Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.07 na kuuzwa kwa shilingi 2.25 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 10.51 na kuuzwa kwa shilingi 11.12.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news