Waziri Mkuu awakabidhi vijana mashine ya kufyatulia matofali


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mashine ya kufyatua matofali aliyoikabidhi kwa kikundi cha vijana cha kijiji cha Mandawa wilayani Ruangwa Julai 8, 2022. Shilingi Milioni 25 za kununua mashine hiyo zimetolewa kwa mkopo kwa kikundi hicho na halmashauri ya wilaya Rungwa. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack na watatu kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Ruangwa, Frank Chonya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news