Mchakato wa mabadiliko ya sheria za habari washika kasi

Joseph Mwendapole, Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri (TEF) aliyesimama akiwa katika chumba cha habari cha Mwanahalisi Digital alipokwenda kutembelea na kueleza mchakato wa mabadiliko ya sheria za habari ulipofika.Joseph Kulangwa, Mhariri wa Gazeti la Raia Mwema (kushoto), akipokea flash yenye mapendekezo ya mabadililo ya sheria za habari kutoka kwa Joseph Mwendapole, Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Erasto Masalu, Mkuu wa Kitengo cha Mwanahalisi Digital (kulia), akipokea flash yenye mapendekezo ya mabadililo ya sheria za habari kutoka kwa Joseph Mwendapole, Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news