Mr.Sakho,where are you from? I am from Rufisque, Sawa...

NA DIRAMAKINI

WINGA wa Kimataifa wa Senegal anayecheza Simba, Pape Ousmane Sakho amedhirisha kuwa, kuibuka kuwa shujaa wa bao bora barani Afrika haikuwa bahati nasibu badala yake inatokana na uwezo wake akiwa dimbani.SOMA Mashabiki Simba SC, Yanga SC watambiana bao la Sakho kutumika Agosti 13 kwa Mkapa

Ni baada ya leo Agosti 13, 2022 katika Dimba la Benjamin Mkapa lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam kupitia mtanage wa watani wa jadi kati ya mwajiri wake Simba SC na Yanga SC katika Ngao ya Jamii kutupia bao la kwanza dakika ya 16. Bao ambalo limedumu kipindi chote cha dakika 45 za kwanza.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news