Naibu Spika Mussa Azzan Zungu ahesabiwa nyumbani kwake Kigamboni jijini Dar es Salaam

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) leo Agosti 23, 2022 akiwa katika picha ya pamoja na makarani wa sensa mara baada ya kuhesabiwa wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililofanyika nyumbani kwake Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news