Naibu Waziri David Silinde ahesabiwa na familia yake nyumbani Tunduma



Naibu Waziri anayeshughulikia Elimu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. David Silinde akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi wakati akihesabiwa nyumbani kwake Mtaa wa Majengo Kata ya Majengo iliyopo Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe leo Agosti 23,2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news