Waziri Bashungwa ahesabiwa na familia yake nyumbani Karagwe


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi, Spencia Rutalemwa wakati akihesabiwa nyumbani kwake Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabiyonza Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera leo Agosti 23, 2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news